بحث عن كتاب
كتاب AQIDATUL WASITWYYAH لابو العباس احمد بن عبد الحليم بن عبد السلام بن تيمية الحراني

تحميل كتاب AQIDATUL WASITWYYAH PDF

التصنيف : كتب إسلامية
سنة النشر : غير محدد
عدد الصفحات : غير محدد
عن الكتاب : Swalah na salaam zimfikishie mbora wa viumbe, Muhammad (وسلم وآله عليه اهلل صلى ,( ahli zake, Maswahabah wake na kila mwenye kufuata mienendo yao. Amma ba ́ad: Hakika hiki ni kitabu kilichoandikwa kwa ufupi kubainisha I ́tiqaad sahihi ya Al- us-Sunnah wal-Jamaa ́ah, kiitwacho “al- ́Aqiydah al-Waasitwiyyah” alichokiandika Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin ́Abdil-Haliym bin ́Abdis-Salaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) alokufa mwaka 728 H. Sababu ya kuandika kitabu hichi, alimjilia bwana mmoja alokuwa Qaadhiy katika mji wa Waasitw akamshtakia Shaykh-ul-Islaam uharibifu na upotofu uliopo katika mji wao katika upande wa I ́tiqaad ya Majina ya Allaah na Sifa Zake. Akaandika kitabu hichi chenye kuzingatiwa kama tegemeo la msingi wa I ́tiqaad sahihi ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa ́ah katika mambo ambayo waliyozama nayo watu katika Bid ́ah. Hakika ni kitabu ambacho kilichokusanya mfumo sahihi wa Ahl-us-Sunnah wal- Jamaa ́ah. Jambo ambalo Muislamu siku zote hatosheki nalo, bali alihitajia siku zote katika maisha yake, kwa kwamba ́Aqiydah ndio msingi. Kitabu ambacho ni dalili tosha ya kuonesha umuhimu wake katika Ummah wa Kiislamu kwa kule kubahatika kupata Qabuul (kukubaliwa) kwa kushereheshwa na wanazuoni wa Kiislamu wa Ahl-us-Sunnah mbalimbali katika zama tofautitofauti, bali na kusomeshwa katika ulimwengu wa Kiislamu tokea zama hizo mpaka leo na mpaka ulimwengu utakapomalizika. Na leo nazidi kumshukuru Allaah (وتعالى سبحانه (na kufurahi tena kwa kuwa kijana chetu mpendwa – Allaah Amuhifadhi – al-Akh Abu Bakr Khatwiyb. Amesimama na kukifasiri kitabu hichi kwa lugha ya Kiswahili ili mujtamaa wetu ufaidike na kujua misingi sahihi ya I ́tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa ́ah. Allaah Ampe kula la kheri hapa duniani na huko Aakhirah na Aijaalie ́amali hii iwe Swadaqat- un-Jaariyah ya mzee wake alokwenda mbele ya haki. Allaah Amrahamu na Amuweke mahali pema. Na yeye ampe afya njema na Ikhlaasw na hima kuendelea kufanya kazi hii ya uandishi na nyinginezo za Da ́wah ili mujtamaa wa Kiislamu unufaike na Amuwekee katika mizani ya hasanati zake. Wa SwallaAllaahu ́alaa Muhammad wa ́alaa alihi wa Aswhaabihi wa Sallam. Kitabu hiki kinazunguzia mas’ala ya Aqidah Tawhid .
أعلان

نبذة عن كتاب AQIDATUL WASITWYYAH

كتاب AQIDATUL WASITWYYAH

Swalah na salaam zimfikishie mbora wa viumbe, Muhammad (وسلم وآله عليه اهلل صلى ,( ahli zake, Maswahabah wake na kila mwenye kufuata mienendo yao. Amma ba ́ad: Hakika hiki ni kitabu kilichoandikwa kwa ufupi kubainisha I ́tiqaad sahihi ya Al- us-Sunnah wal-Jamaa ́ah, kiitwacho “al- ́Aqiydah al-Waasitwiyyah” alichokiandika Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin ́Abdil-Haliym bin ́Abdis-Salaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) alokufa mwaka 728 H. Sababu ya kuandika kitabu hichi, alimjilia bwana mmoja alokuwa Qaadhiy katika mji wa Waasitw akamshtakia Shaykh-ul-Islaam uharibifu na upotofu uliopo katika mji wao katika upande wa I ́tiqaad ya Majina ya Allaah na Sifa Zake. Akaandika kitabu hichi chenye kuzingatiwa kama tegemeo la msingi wa I ́tiqaad sahihi ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa ́ah katika mambo ambayo waliyozama nayo watu katika Bid ́ah. Hakika ni kitabu ambacho kilichokusanya mfumo sahihi wa Ahl-us-Sunnah wal- Jamaa ́ah. Jambo ambalo Muislamu siku zote hatosheki nalo, bali alihitajia siku zote katika maisha yake, kwa kwamba ́Aqiydah ndio msingi. Kitabu ambacho ni dalili tosha ya kuonesha umuhimu wake katika Ummah wa Kiislamu kwa kule kubahatika kupata Qabuul (kukubaliwa) kwa kushereheshwa na wanazuoni wa Kiislamu wa Ahl-us-Sunnah mbalimbali katika zama tofautitofauti, bali na kusomeshwa katika ulimwengu wa Kiislamu tokea zama hizo mpaka leo na mpaka ulimwengu utakapomalizika. Na leo nazidi kumshukuru Allaah (وتعالى سبحانه (na kufurahi tena kwa kuwa kijana chetu mpendwa – Allaah Amuhifadhi – al-Akh Abu Bakr Khatwiyb. Amesimama na kukifasiri kitabu hichi kwa lugha ya Kiswahili ili mujtamaa wetu ufaidike na kujua misingi sahihi ya I ́tiqaad ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa ́ah. Allaah Ampe kula la kheri hapa duniani na huko Aakhirah na Aijaalie ́amali hii iwe Swadaqat- un-Jaariyah ya mzee wake alokwenda mbele ya haki. Allaah Amrahamu na Amuweke mahali pema. Na yeye ampe afya njema na Ikhlaasw na hima kuendelea kufanya kazi hii ya uandishi na nyinginezo za Da ́wah ili mujtamaa wa Kiislamu unufaike na Amuwekee katika mizani ya hasanati zake. Wa SwallaAllaahu ́alaa Muhammad wa ́alaa alihi wa Aswhaabihi wa Sallam. Kitabu hiki kinazunguzia mas’ala ya Aqidah Tawhid .


هذا الكتاب من تأليف ابو العباس احمد بن عبد الحليم بن عبد السلام بن تيمية الحراني و حقوق الكتاب محفوظة لصاحبها

تحميل
التحميل حجم الكتاب
تحميل غير محدد فى الوقت الحالى
أضافة مراجعة
0.0 / 5
بناء على 0 مراجعة
1 (0)
2 (0)
3 (0)
4 (0)
5 (0)
كتب ذات صلة